Mwaka jana (2018) kampuni ya Samsung ilizindua Galaxy J2 Core simu ya kwanza yenye kutumia mfumo wa Android Go. Kama unavyojua mfumo wa Android Go ni mfumo ambao unatambulika kuwepo kwenye simu za Android zenye uwezo wa RAM chini ya GB 1. Sasa kwa sababu Samsung imetangaza kuachana na simu za Galaxy J, mwaka huu […] More
Soma Zaidi Hapa : Galaxy A2 Core Simu Mpya ya Bei Rahisi Kutoka Samsung