Hivi karibuni kampuni ya soko la progarmu za simu la Play Store ilitaanza kupokea malipo ya kununua programu mbalimbali ndani ya soko hilo kwa kutumia mfumo wa malipo wa Mpesa huko nchini Kenya. Kupitia muungano wa kampuni ya Simu ya Safaricom ambayo ndio watoaji wa huduma za Mpesa nchini Kenya na kampuni ya DOCOMO Digital ya […] More
Jumatano, 28 Februari 2018
Hatimaye Play Store Kuanza Kupokea Malipo kwa Mpesa Kenya
Hivi karibuni kampuni ya soko la progarmu za simu la Play Store ilitaanza kupokea malipo ya kununua programu mbalimbali ndani ya soko hilo kwa kutumia mfumo wa malipo wa Mpesa huko nchini Kenya. Kupitia muungano wa kampuni ya Simu ya Safaricom ambayo ndio watoaji wa huduma za Mpesa nchini Kenya na kampuni ya DOCOMO Digital ya […] More