Kampuni ya Samsung yenye makao yake makuu nchini Korea ya Kusini hivi leo imevunja rekodi nyingine tana kwa kuja na Hard Disk kubwa kuliko zote duniani, Hard disk hii ya aina ya SSD au Solid-state drive ina uwezo au ukubwa wa Terabyte (TB) 30 ambayo ni sawa na GB 30,000. Hard Disk hiyo imetengenezwa kwa vitufe maalum […] More
Jumanne, 20 Februari 2018
Kampuni ya Samsung Yazindua Hard Disk Kubwa ya Terabyte 30
Kampuni ya Samsung yenye makao yake makuu nchini Korea ya Kusini hivi leo imevunja rekodi nyingine tana kwa kuja na Hard Disk kubwa kuliko zote duniani, Hard disk hii ya aina ya SSD au Solid-state drive ina uwezo au ukubwa wa Terabyte (TB) 30 ambayo ni sawa na GB 30,000. Hard Disk hiyo imetengenezwa kwa vitufe maalum […] More