Taarifa kutoka idara ya habari maelezo hapa nchini Tanzania zinasema kuwa, WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kila kiwanda kilichopo nchini kihakikishe kinatumia alama za utambuzi za GS1 Tanzania simbomilia au Barcodes. Magizo hayo yametolewa siku ya jana Alhamisi, Februari 22, 2018 wakati waziri mkuu akifungua Mkutano wa Sita wa Wamiliki wa Viwanda na Watumiaji wa simbomilia au […] More
Ijumaa, 23 Februari 2018
Waziri Mkuu Tanzania Ameagiza Viwanda Kutumia Barcodes za GSI
Taarifa kutoka idara ya habari maelezo hapa nchini Tanzania zinasema kuwa, WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kila kiwanda kilichopo nchini kihakikishe kinatumia alama za utambuzi za GS1 Tanzania simbomilia au Barcodes. Magizo hayo yametolewa siku ya jana Alhamisi, Februari 22, 2018 wakati waziri mkuu akifungua Mkutano wa Sita wa Wamiliki wa Viwanda na Watumiaji wa simbomilia au […] More