Jumatatu, 5 Machi 2018

Apple Kuja na Laptop ya MacBook Air ya Bei Nafuu Zaidi

Macbook AirRipoti kutoka kwa mwanaripoti wakuaminika Ming-Chi Kuo ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya KGI Securities zinadai huwenda kampuni ya Apple ikazindua laptop mpya ya Macbook Air kabla ya nusu ya mwisho wa mwaka huu 2018. Ripoti kutoka kwenye mtandao wa 9to5Mac, zinasema kuwa mwanaripoti huyo amesema Apple inategemea kuuza laptop hiyo mpya ya Macbook Air […] More