Elon Musk ni mkurungenzi mtendaji na mgunduzi wa kampuni za Tesla pamoja na Space X, Hizi ni moja kati ya kampuni kubwa sana duniani ambapo Tesla ni kampuni inayo tengeneza magari ya kifahari yanayotumia umeme na SpaceX ni kampuni inayo jihusisha na utengenezaji ndege pamoja na kutoa huduma za usafiri wa anga. Kampuni zote hizi […] More
The post Elon Musk Afuta Kurasa za Facebook za Tesla na SpaceX appeared first on Tanzania Tech.