Kampuni ya Google inajulikana kwa kuwa na tovuti mbalimbali ambazo zimekua msaada mkubwa miongoni mwa watumiaji wake, Hivi karibuni Google kupitia blog yake imetangaza kuzima tovuti yake ya kufupisha link inayoitwa Google URL Shortener. Tovuti hii imekuwa ikitumiwa na watu wengi kuweza kubadilisha link ndefu kuwa fupi ili kurahisisha pale unapotaka kushiriki link hizo na […] More
The post Google Imetangaza Kuzima Tovuti Yake ya Link ya Goo.Gl appeared first on Tanzania Tech.