Kila mwaka kampuni ya Google imekuwa ikiwapa nafasi watumiaji wa simu za Android, pamoja na watengenezaji wa programu mbalimbali kujaribu mfumo mpya wa Android. Mwaka huu Google imekuja na mfumo mpya wa uendeshaji wa majaribio wa “Android P”. Sasa ikiwa bado mfumo wa Android Oreo haujafikia watumiaji wa simu nyingi za Android. Google hufanya majaribio […] More
The post Google Yazindua Mfumo Mpya wa Majaribio wa Android P appeared first on Tanzania Tech.