Hivi karibuni, Kampuni ya samsung ilivunja rekodi kwa upande wa teknolojia kwa kuja na Hard Disk kubwa ya SSD yenye ukubwa wa Terabyte (TB) 30. Lakini muda umepita na tayari kampuni ya Samsung imesha pokonywa taji hilo na kwa sasa taji la Hard Disk kubwa kuliko zote duniani, linaenda kwa kampuni ya Nimbus ambayo imetengeneza […] More
The post Hard Disk Kubwa Kuliko Zote Duniani Sasa ni ya TB 100 appeared first on Tanzania Tech.