Jumanne, 20 Machi 2018

Hard Disk Kubwa Kuliko Zote Duniani Sasa ni ya TB 100

Hard Disk kubwa ya TB 100

Hivi karibuni, Kampuni ya samsung ilivunja rekodi kwa upande wa teknolojia kwa kuja na Hard Disk kubwa ya SSD yenye ukubwa wa Terabyte (TB) 30. Lakini muda umepita na tayari kampuni ya Samsung imesha pokonywa taji hilo na kwa sasa taji la Hard Disk kubwa kuliko zote duniani, linaenda kwa kampuni ya Nimbus ambayo imetengeneza […] More

The post Hard Disk Kubwa Kuliko Zote Duniani Sasa ni ya TB 100 appeared first on Tanzania Tech.