Ijumaa, 9 Machi 2018

Hatimaye Google Yaruhusu Tanzania Kuuza App Play Store

Hivi karibuni Google imenza kufanya maboresho kwenye soko lake la Play Store, huku moja ya maboresho hayo yakiwa ni pamoja na kuruhusu nchi ya Tanzania kuweza kuuza App kwenye soko hilo la programu za Android. Kipindi cha nyuma wabunifu wa programu za Android walikuwa hawawezi kuuza programu kwenye soko hilo kitendo ambacho kilikuwa kina walazimisha […] More

The post Hatimaye Google Yaruhusu Tanzania Kuuza App Play Store appeared first on Tanzania Tech.