Wakati kampuni ya Facebook ikiendelea na sakata la kuvujisha data za watumiaji wake zaidi ya milioni 50 kupitia kampuni ya Cambridge Analytica, huko nchini Misri mambo ni tofauti kidogo kwani wiki moja iliyopita serikali nchini humo imezindua mtandao wa kijamii maalumu kwaajili ya nchi hiyo. Mtandao huo mpya unaofanana na Facebook umezinduliwa nchini Misri, kwa jina […] More
The post Hatimaye Nchi ya Misri Yazindua Mtandao Wake wa Kijamii appeared first on Tanzania Tech.