Ni mara nyingi sana tukiangalia sifa mbalimbali za simu utakuta tunasoma kuwa uwezo wa battery ni Li-ion 3000 mAh au labda Li-Po 3000 mAh. Lakini je unajua maana ya Li-ion au Li-po..? na Je unajua tofauti ya battery hizi kwenye simu yako.? Kujibu maswali hayo leo nimekuandalia makala hii ya je wajua ambayo natumaini mpaka […] More
The post Je Wajua Tofauti ya Battery za Simu Li-ion na Battery za Li-Po appeared first on Tanzania Tech.