Jumamosi, 24 Machi 2018

Jinsi ya Kufanya Simu za Tecno Kudumu na Chaji Zaidi (2018)

Simu za Tecno kudumu na Chaji

Wote tunajua kwa hapa Afrika na Tanzania kwa ujumla simu za tecno ni moja ya simu zinazotumiwa sana, lakini simu hizi huwa na matatizo mbalimbali na moja kati ya tatizo hilo tutaenda kuliongelea leo ambalo ni kuisha kwa chaji haraka. Mara nyingi hatua za kudhibiti chaji kupungua kwenye simu za tecno ni sawa na zile […] More

The post Jinsi ya Kufanya Simu za Tecno Kudumu na Chaji Zaidi (2018) appeared first on Tanzania Tech.