Baada ya kuwa kimya kwa takribani mwaka sasa, kampuni ya lenovo imerudi tena na mwaka huu imezindua simu zake mpya tatu huko nchini China. Simu zilizo zinduliwa ni pamoja na Lenovo S5, Lenovo K5 pamoja na Lenovo K5 Play. Kwa kuangalia muonekano simu hizi ni simu nzuri sana kwa muonekano, huku zikiwa na rangi nzuri […] More
The post Kampuni ya Lenovo Yazindua Simu Mpya Tatu Nchini China appeared first on Tanzania Tech.