Ni wazi kuwa sakata la Facebook na kampuni ya Cambridge Analytica ni moja kati ya taarifa kubwa sana za wiki hii na hata wiki iliyopita. Lakini pia ni wazi kuwa sakata hilo ni moja kati ya vitu vinavyo rudisha nyuma facebook kimafanikio kwa namna moja ama nyingine. Kutokana na uzito wa swala hili, Mark Zuckerberg ambaye […] More
The post Mark Zuckerberg Aomba Msamaha Zaidi Kupitia Magazeti appeared first on Tanzania Tech.