Habari za kusikitisha kutoka huko Uingereza, Daktari wa fizikia wa Uingereza ambae pia ni mtaalamu wa maswala ya anga pamoja na teknolojia Stephen Hawking amefariki dunia leo tarehe 14 march 2018 akiwa na umri wa miaka 76. Taarifa za kufariki kwa mwana teknolojia huyo zimesamba leo kupitia mitandao mbalimbali huku zikisikitisha sana watu wengi hasa wafuatiliaji […] More
The post Mtaalamu wa Teknolojia Stephen Hawking Afariki Dunia Leo appeared first on Tanzania Tech.