Jumanne, 27 Machi 2018

Simu Mpya ya Tecno Camon X Kuzinduliwa Rasmi April 5

Camon X

Baada ya tetesi za ujio wa simu mpya za Tecno Camon X pamoja na Camon X Pro sasa habari tulizozipata hapo jana zinadhibitisha kuwa, simu hizo mpya zitazinduliwa rasmi tarehe 5 Aprili mwaka huu 2018 na uzinduzi rasmi unategemewa kufanyika huko nchini Nigeria. Kwa mujibu wa chanzo hicho cha habari, simu hizo zinategemewa kuja na kamera […] More

The post Simu Mpya ya Tecno Camon X Kuzinduliwa Rasmi April 5 appeared first on Tanzania Tech.