Baada ya Kampuni ya Tecno kuzindua simu mpya ya Tecno Camon CM, Tetesi zinasema kuwa kampuni ya Tecno sasa inajiandaa kuja na toleo jipya la simu ya Tecno Camon X (2018), inayo tarajiwa kuzinduliwa rasmi mwezi ujao. Toleo hilo jipya la Tecno Camon X litakuja likiwa na uwezo na sifa makini zaidi tofauti na toleo […] More
The post Tetesi : Jiandae na Toleo la Simu Mpya ya Tecno Camon X (2018) appeared first on Tanzania Tech.