Kampuni ya Apple hivi leo inatarajia kutangaza simu zake mpya za iPhone 8 pamoja na iPhone 8 Plus za rangi Nyekundu, Kwa mujibu wa tovuti ya Mac Rumors, kampuni ya Apple kila mwaka huzindua simu mpya za rangi nyekundu kutokana na ushirikiano wake na shirika lisilo la kiserikali la RED ambalo limejikita kusaidia kupambana na […] More
The post Apple Kuzindua Leo Simu Mpya za iPhone 8 za Rangi Nyekundu appeared first on Tanzania Tech.