Kampuni ya Google pamoja na kampuni ya Apple zimekua zikijulikana kuwa washindani kwa muda mrefu sana, sasa katika hali ya kushangaza hivi karibuni Google iliamua kufanya mabadiliko ya kiutawala kwenye sekta ya Search and Artificial Intelligence ambapo inasemekana aliyekuwa kiongozi wa sekta hiyo John Giannandrea, alitenguliwa uongozi wake na kupewa kiongozi mwingine ambapo kiongozi huyo alisemekana kupangiwa […] More
The post Apple Yamuajiri Kiongozi wa Zamani wa Kampuni ya Google appeared first on Tanzania Tech.