Ijumaa, 13 Aprili 2018

Hatimaye Chuo cha Tanzania cha DIT Kuanza Kuunda Roboti

DIT kutengeneza Roboti

Hivi karibuni ripoti kutoka gazeti la mwananchi zinasema, Siemens ni miongoni mwa kampuni zin-azongoza kwenye uendelezaji wa taaluma ya artificial intelligence inayohamasisha ubunifu na uundaji wa roboti. Baada ya uzoefu wa miaka mingi, kam-puni hiyo imeamua kuongeza ushawishi wake Afrika kwa kuvijengea uwezo baadhi ya vyuo vikuu ili kuihamishia teknolojia hiyo barani humu. Katika mpango […] More

The post Hatimaye Chuo cha Tanzania cha DIT Kuanza Kuunda Roboti appeared first on Tanzania Tech.