Kama tulivyo sema wiki hii, Nokia inategemea kurudi tena na simu yake ya Nokia X au Nokia X6 (2018) ambayo inasemekana kuja na muonekano wa kisasa huku ikiwa na ukingo wa juu maarufu kama Notch. Sasa muda mchache kabla ya kutoka rasmi kwa simu hiyo ya Nokia X tumefanikiwa kupata picha za simu hiyo ambazo […] More
The post Hizi Hapa Picha Zaidi za Nokia X au Nokia X6 (2018) appeared first on Tanzania Tech.