Alhamisi, 12 Aprili 2018

Instagram Itaruhusu Watumiaji Kupakua Data za Matumizi

Instagram Download Data

Hivi karibuni msemaji wa mtandao wa Instagram kupitia tovuti maarufu ya Techcrunch alisema kwenye maojiano kuwa, instagram inategemea kuleta sehemu mpya maalum ambayo itakuwezesha wewe kupakua (download) data zako za matumizi ya mtandao wa Instagram. Kupitia msemaji huyo, bado haijajulikana matumizi halisi ya sehemu hiyo yatakuwa yapi au sehemu hiyo itafanya kazi kwa namna gani, […] More

The post Instagram Itaruhusu Watumiaji Kupakua Data za Matumizi appeared first on Tanzania Tech.