Alhamisi, 12 Aprili 2018

Kampuni ya Huawei Yazindua Simu Mpya ya Huawei Y6 (2018)

Huawei Y6 (2018)

Baada ya kuzindua simu ya Huawei Y7 Prime (2018), Kampuni ya Huawei bado inaendeleza harakati za kuhakikisha watumiaji wake wanapata simu za nzuri na za bei nafuu, kuonyesha hilo hivi leo kampuni hiyo imezindua simu nyingine ya Huawei Y6 (2018). Simu hii inakuja na maboresho mengi ikiwa pamoja na kioo kisasa chenye teknolojia ya Full Display. […] More

The post Kampuni ya Huawei Yazindua Simu Mpya ya Huawei Y6 (2018) appeared first on Tanzania Tech.