Unaweza kudhani uko salama kutokana na kuwa na nywila au password ndefu au yenye alama na herufi zisizo eleweka, Well…. fikiria tena kwani hiyo password unayodhani ni ngumu sana mtu kuifahamu inaweza kupatikana au kudukuliwa kirahisi sana hata na mtoto wa miaka 12. Reuben Paul ni mtoto wa darasa la sita au kwa wenzetu sixth […] More
The post Mtoto wa Miaka 12 Anaeweza Kudukua Password Yoyote appeared first on Tanzania Tech.