Siku ya wajinga ni siku ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 1 mwezi wa nne (4), mwaka huu siku hii ilikuwa tofauti sana kwa wapenzi wa teknolojia kwani kulitoke vitu vingi mbalimbali ambavyo ukweli vimekuwa gumzo sana mpaka muda huu. Kukujuza yote yaliyotokea hapo jana hivi ndivyo siku hiyo ya wajinga ilivyokuwa kwa upande wa teknolojia. […] More
The post Ndivyo Ilivyokuwa Siku ya Wajinga kwa Upande wa Teknolojia appeared first on Tanzania Tech.