Hivi leo kampuni ya Samsung imetangaza ujio wa simu yake mpya ya Samsung Galaxy J7 Duo (2018), simu hii ambayo imezinduliwa leo huko nchini india kupitia Tovuti ya Samsung, inakuja na maboresho mapya na kamera mbili kwa nyuma kwa mara ya kwanza kwenye simu za Galaxy J7. Mbali na maboresho ya kamera, simu hii ya Galaxy […] More
The post Samsung Yazindua Simu ya Samsung Galaxy J7 Duo (2018) appeared first on Tanzania Tech.