Kampuni ya Tecno iko mbioni kuzindua simu yake mpya ya Tecno camon X, simu hii inatarajiwa kuzinduliwa hapo kesho kutwa tarehe 5 ya mwezi huu ambayo itakuwa ni siku ya Alhamisi. Hata hivyo uzinduzi rasmi wa simu hii umepanga kufanyika huko nchini Nigeria ambapo inasemekana simu hiyo itazinduliwa ikiwa imeboreshwa zaidi kwenye upande wa kamera. […] More
The post Tetesi : Sifa Zinazo Tarajiwa Kwenye Tecno Camon X (2018) appeared first on Tanzania Tech.