Mpaka sasa bado kampuni ya Tecno haijazindua rasmi simu yake mpya ya Tecno Camon X (2018), lakini Tanzania Tech tumesha fanikiwa kupata muonekano wa simu hiyo pamoja na sifa kamili za simu hiyo. Kwenye makala hii utaenda kuzifahamu sifa za simu hiyo inayotegemewa kuzinduliwa leo huko nchini Nigeria. Kama unavyo ona kwenye picha simu hii […] More
The post Zifahamu Hizi Hapa Ndio Sifa za Tecno Camon X (2018) appeared first on Tanzania Tech.