Japokuwa simu za BlackBerry hazina watumiaji wengi lakini bado kampuni hiyo haijakata tamaa na inaendelea na utengenezaji wa simu mpya. Hivi karibuni kampuni hiyo ya nchini marekani imetangaza ujio wa simu mpya ya BlackBerry KEY2, toleo jipya la simu ya mwaka jana la Blackberry KeyOne. Kwa mwaka huu 2018, Simu hiyo inaonekana kuja na kamera […] More
Soma Zaidi Hapa : BlackBerry Kuja na Simu Mpya ya BlackBerry KEY2 Mwezi Ujao