Hatimaye wapenzi wa kula chakula cha kuagiza hivi karibuni wataanza kufurahia huduma mpya ya kuletewa chakula kupitia huduma mpya ya Uber Eats. Kama ulikuwa huijui huduma hii ya Uber Eats ilianzishwa mwaka 2014 na kampuni ya Uber ambayo ni maarufu sana hapa Tanzania kwa kutoa huduma za usafiri binafsi kwa wakazi wa majiji mbalimbali ikiwa […] More
Soma Zaidi Hapa : Hatimaye Huduma ya Uber EATS Yaingia Rasmi Afrika Mashariki