Jumanne, 15 Mei 2018

Kama Wewe ni Mtumiaji wa Mtandao Simu wa Halotel Soma Hii

Halotel

Hivi karibuni Kampuni ya Halotel imezindua kifurushi kisichoisha kitakacho wawezesha wateja kufanya mawasiliano bila kikomo. Wateja wa Halotel watakao jiunga na kifurushi hicho kipya kiitwacho Super Halo, watapiga simu au kutumia intaneti hadi kitakapokwisha bila kujali muda wa kujiunga. Mkuu wa Mawasiliano wa kampuni hiyo, Mhina Semwenda amesema kifurushi hicho kinaondoa ukomo wa muda wa vifurushi […] More

The post Kama Wewe ni Mtumiaji wa Mtandao Simu wa Halotel Soma Hii appeared first on Tanzania Tech.