Baada ya tetesi za muda mrefu hivi leo Kampuni ya Xiaomi ime sherekea miaka minane ya kuanzishwa kwake kwa kuzindua simu mpya ya Xiaomi Mi 8. Simu hiyo mpya inakuja na processor ya Qualcomm Snapdragon 845, kamera mbili, GPS mbili, na pia hii ndio simu ya kwanza kutoka kampuni ya Xiaomi kuwa na ukingo wa […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Xiaomi Yazindua Simu Mpya ya Xiaomi Mi 8