Mwaka huu 2018 umekuwa ni mwaka wa tofauti kidogo kwa kampuni ya Facebook pamoja na mkurugenzi wake Mark Zuckerberg, hata hivyo hali hiyo imechagizwa na kushutumiwa kwa Facebook kufanya uzembe ulio sababisha uvujishaji wa data za mamilioni ya watumiaji wa mtandao huo kwenye kipindi cha uchaguzi wa Raisi wa marekani mwaka 2016. Hata hivyo Facebook imefanya […] More
Soma Zaidi Hapa : Mark Zuckerberg Kuhojiwa Kesho na Wabunge wa Ulaya