Miezi kadhaa iliyopita tulitoa taarifa za mtandao wa Instagram kuja na App maalum kwaajili ya kuchat inayo itwa Direct. Baada ya kuijaribu na kutumia App hii kwa muda mrefu leo nimeona nikujuze angalau kidogo kuhusu app hiyo mpya kutoka Instagram. Kwa muundo jinsi App hiyo ilivyo ni kama App ya Instagram, unaweza kuchati kama ilivyo […] More
The post Sasa Unaweza Kujaribu App ya Kuchati ya Instagram Direct appeared first on Tanzania Tech.