Alhamisi, 14 Juni 2018

Apps #15 App Nzuri za Kufuatilia kwa Karibu Kombe la Dunia

Kombe la Dunia

Kuanzia siku ya leo, dunia inaungana pamoja kwenye ufunguzi wa michuano ya mpira wa miguu katika kuwania Kombe la Dunia, michuano hii hufanyika kila baada ya miaka 10, na kwa mwaka huu michuano hii inafanyika rasmi huko nchini urusi. Sasa ili kuhakikisha hupitwi na yoyote kwenye michuano hiyo, Tanzania Tech tumekuandalia application hizi nzuri ambazo […] More

Soma Zaidi Hapa : Apps #15 App Nzuri za Kufuatilia kwa Karibu Kombe la Dunia