Mtandao wa instagram umeanza kusasisha toleo jipya la App yake ya Instagram ambayo sasa inakuja na maboresho kadhaa kama vile uwezo wa kupiga simu za video hadi watu wanne, vikorobwezo vya kamera (Camera effect) pamoja na Sehemu mpya ya kutafuta (Explore feed). Sehemu ya Video Chat Sehemu ya video chat inakuja kupitia sehemu ya Direct […] More
Soma Zaidi Hapa : Instagram Yaongezewa Video Chat, Kamera Effect na Mengine