Programu ya WhatsApp ni moja kati ya programu zinazotumiwa na watu wengi sana kwa sasa, programu hii imewezesha watu kuwasiliana kwa urahisi, iwe ni watu kutoka nje au ndani ya Afrika. Kurahisisha mawasiliano hivi karibuni mitandao mbalimbali ya kijamii imeanza kutambua Kiswahili kama lugha rasmi ya kuwasiliana ndani ya mitandao hiyo. Baada ya kusikia kuwa […] More
Soma Zaidi Hapa : Je Wajua WhatsApp Sasa Inapatikana kwa Lugha ya Kiswahili