Kwa mujibu wa tovuti ya The Citizen, Hivi karibuni kampuni ya Azam inategemea kuja na mtandao wake wa simu ambao utajikita kutoa huduma za gharama nafuu hapa nchini Tanzania. Kwa mujibu wa habari hizo, mtandao huo wa simu utakuwa ukiitwa Azam Telecom huku jina la kibiashara la mtandao huo likiwa ni Azam Telecom (T) Limited, kampuni […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Azam Kuja na Mtandao wa Simu wa Azam Telecom