Kampuni ya simu ya Oppo ambayo pia ni sehemu ya kampuni ya One Plus, hivi karibuni imezindua simu yake mpya ya kisasa inayoitwa Oppo Find X, Simu hii inakuja na aina mpya ya kamera pamoja na kioo kikubwa kisichokua na ukingo. Oppo find X inakuja na kioo cha inch 6.4 chenye teknolojia ya Super Amoled […] More
Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Oppo Yazindua Simu Mpya ya Oppo Find X