Kama umekuwa mfuatiliaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii, basi lazima utakuwa unajua kuwa bunge la uganda limepitisha sheria ya kuanza kuwalipisha watumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii nchini humo. Mitandao hiyo ni pamoja na Facebook, Twitter, Viber, na WhatsApp. Hata hivyo kwa mujibu wa tovuti ya Quartz Africa, sheria hiyo ilianza kufanyiwa kazi mwezi Aprili baada […] More
Soma Zaidi Hapa : Kuanzia Leo Waganda Kulipia Matumizi ya Mitandao ya Kijamii