Msanii maarufu anaetokea nchini Senegal, Akon hivi karibuni ametangaza kuzindua sarafu yake ya kidigital inayoitwa AKoin. Msanii huyo amesema ana amini sarafu hiyo inaweza kusaidia bara la Afrika kwa miaka ya karibuni. Kwa mujibu wa tovuti ya BBC, akon alisema hayo kupitia tamasha la Cannes Lions siku ya Jumatatu mwezi huu.. Mbali na hayo, Akon anasema […] More
Soma Zaidi Hapa : Msanii Akon Atangaza Kuanzisha Mji na Sarafu ya Kidigitali