Kampuni ya Tecno imekuwa ni moja kati ya kampuni yenye kuuza simu za bei nafuu zaidi hapa Afrika, kwa sababu hii kampuni ya Tecno imezidi kukuwa kila siku na hivi karibu hayo yamebainishwa baada ya ripoti kutoka Brand Africa ambao wametoa ripoti inayoonyesha bidhaa za Afrika zinazopendekezwa zaidi kwa mwaka huu 2018. Katika ripoti hiyo ambayo […] More
Soma Zaidi Hapa : TECNO Yashika Namba 7 Bidhaa Zenye Kukubalika Afrika (2018)