Ijumaa, 29 Juni 2018

Tetesi : Hizi Hapa Sifa za Awali za Samsung Galaxy Note 9

Muonekano wa Galaxy Note 9

Hivi karibuni kampuni ya Samsung imetangaza rasmi tarehe ya kuzindua simu yake mpya ya Samsung Galaxy Note 9. Kwa mujibu wa tweet kutoka akaunti ya Twitter ya Samsung, Galaxy Note 9 inatarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 9 ya mwezi wa nane mwaka huu 2018. Wakati ikiwa imebaki takribani mwezi mmoja, tetesi kuhusu Galaxy Note 9 nazo […] More

Soma Zaidi Hapa : Tetesi : Hizi Hapa Sifa za Awali za Samsung Galaxy Note 9