Facebook kupitia mtandao wake wa Instagram inasemekana kuwa inategemewa kuongeza idadi ya muda wa kupost video kwenye mtandao wake kutoka muda wa dakika moja hadi kufikia lisaa limoja. Kwa mujibu wa tovuti ya The Wall Street Journal, instagram inasemekana inategemea kufanya mabadiliko hayo ambayo yatasogeza mtandao huo wa instagram kukaribiana kufanana na mtandao wa YouTube pamoja […] More
Soma Zaidi Hapa : Tetesi : Instagram Kuruhusu Kuposti Video za Hadi Saa Moja