Matumizi ya mtandao yamezidi kukuwa sana siku hizi, lakini kuongezeka huku kwa matumizi ya mtandao kunachagiza kuibuka kwa sheria mpya za mtandao kwenye nchi mbalimbali ambazo sheria hizi kazi yake ni kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao. Siku za karibuni tumesikia sheria mpya mbalimbali za mitandao zikijitokeza kwenye nchi mbalimbali za Afrika ikiwa pamoja na sheria […] More
Soma Zaidi Hapa : Zambia Nayo Kuja na Sheria za Kusajili Bloggers na Group Admin