Ijumaa, 13 Julai 2018

Apple Yafanya Maboresho ya Laptop Zake za MacBook Pro

Kompyuta mpya za MacBook Pro

Hapo siku ya jana kampuni ya Apple imetangaza kufanya maboresho ya laptop zake za Macbook Pro, maboresho yaliofanyika ni pamoja na kuboresho wa vioo vya laptop hizo, aina mpya za vichapishio (keyboard) pamoja na maboresho ya mbalimbali ya uwezo. Hata hivyo laptop za Macbook ambazo zimefanyiwa maboresho haya ni zile laptop ambazo ni za bei […] More

Soma Zaidi Hapa : Apple Yafanya Maboresho ya Laptop Zake za MacBook Pro