Ni kweli kumekuwa na tatizo kubwa hasa hapa Tanzania kwenye njia za kufanya manunuzi mtandaoni, matatizo haya yanasababishwa na kukosekana kwa njia rahisi za malipo ambazo zinawezesha watanzania wote bila kujali kipato kuweza kufanya manunuzi mtandaoni. Ni kweli kwamba hapa kwetu Tanzania teknolojia bado iko nyuma kidogo ukilinganisha na nchi jirani kama ilivyo Kenya na […] More
Soma Zaidi Hapa : Hatua za Kufuata Kuweza Kufanya Manunuzi Mtandaoni