Kampuni ya Huawei inajiandaa kuja na simu yake mpya ya Huawei Nova 3, simu hii inatarajiwa kuja rasmi tarehe 18 mwezi huu huku ikiwa na maboresho makubwa ya toleo la mwaka jana la Huawei Nova 2. Hata hivyo, wakati tukiwa bado tunasubiri kuzinduliwa rasmi kwa simu hiyo, tayari kumeshavuja picha zenye muonekano halisi wa simu hii. […] More
Soma Zaidi Hapa : Huawei Kuzindua Simu Mpya ya Huawei Nova 3 Tarehe 18