Jumatatu, 2 Julai 2018

Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy On6

Sifa na Bei ya Galaxy On6

Kampuni ya Samsung bado inaendelea na kuzindua simu zake mpya mwaka huu 2018, na kabla ya kuzinduliwa kwa Simu mpya ya Galaxy Note 9, Samsung imerudi tena na mfululizo wa simu mpya ya Galaxy On6 ambayo kwa mwaka huu imefanyiwa maboresho zaidi. Kwa muonekano wa sifa, simu hii inafanana kabisa na simu mpya ya Galaxy […] More

Soma Zaidi Hapa : Kampuni ya Samsung Yazindua Simu Mpya ya Galaxy On6